Swali: Anatembelewa mgonjwa ambaye amelala koma/ICU na hamjui anayemtembelea?
Jibu: Hakuna faida. Kwa sababu malengo ya matembezi ni kumuuliza hali yake na kumliwaza. Huyu hakuna faida labda kumuombea du´aa. Ukimtembelea ilihali yuko na utambuzi analiwazika nawe na anaona kuwa unamjali. Lakini akiwa hana hisia basi hakuna faida ya matembezi. Hakuna kilichobakia isipokuwa kumuombea du´aa ya uzima na ponyo.
Swali: Amuombee wakati wa kuwa mbali naye?
Jibu: Hapana vibaya akimuombea katika uwepo mbali naye.
Swali: Vipi kumsomea Qur-aan?
Jibu: Akimsomea Qur-aan Allaah amlipe kheri. Akimsomea Qur-aan ni mema mengine mbali na matembezi.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/21984/هل-يزار-المريض-الغاىب-عن-الوعي
- Imechapishwa: 08/10/2022
Swali: Anatembelewa mgonjwa ambaye amelala koma/ICU na hamjui anayemtembelea?
Jibu: Hakuna faida. Kwa sababu malengo ya matembezi ni kumuuliza hali yake na kumliwaza. Huyu hakuna faida labda kumuombea du´aa. Ukimtembelea ilihali yuko na utambuzi analiwazika nawe na anaona kuwa unamjali. Lakini akiwa hana hisia basi hakuna faida ya matembezi. Hakuna kilichobakia isipokuwa kumuombea du´aa ya uzima na ponyo.
Swali: Amuombee wakati wa kuwa mbali naye?
Jibu: Hapana vibaya akimuombea katika uwepo mbali naye.
Swali: Vipi kumsomea Qur-aan?
Jibu: Akimsomea Qur-aan Allaah amlipe kheri. Akimsomea Qur-aan ni mema mengine mbali na matembezi.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/21984/هل-يزار-المريض-الغاىب-عن-الوعي
Imechapishwa: 08/10/2022
https://firqatunnajia.com/kumtembelea-mgonjwa-aliyelala-koma-icu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)