Swali: Inafaa kwetu kukusanya na kufupisha swalah katika safari yetu ya takriban 200 km kuanzia siku ya jumatano, alkhamisi mpaka ijumaa?
Jibu. Ndio, hapana vibaya muda wa kuwa wako safarini. Lakini bora wakusanye pale watapokuwa wametua.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/22944/هل-يجوز-قصر-الصلاة-في-سفر-النزهة
- Imechapishwa: 21/09/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)