Swali: Je, inafaa kumkusanya mwanaume na mwanamke ndani ya kaburi moja?
Jibu: Dharurah ikipelekea kufanya hivo. Vinginevyo kila mmoja ndani ya kaburi lake. Lakini wafu wakiwa wengi na ikawa uzito kwa watu, bora ni kuweka kizuizi cha udongo kati yao [na kuweka wawili ndani ya kaburi].
Swali: Hata kama sio Mahram?
Jibu: Hata kama sio Mahram.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/22638/حكم-الجمع-بين-الرجل-والمراة-في-قبر-واحد
- Imechapishwa: 14/07/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)