Swali: Katika baadhi ya miji ya kiarabu wanavaa mavazi yanayofanana na mavazi ya makafiri lakini hata hivyo hawakukusudia. Wameyazowea kuwa katika mavazi yao. Mfano wa mavazi hayo ni kama suruwali na shati.
Jibu: Sio kujifananisha muda wa kuwa yanavaliwa na waislamu.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/22637/حكم-لبس-ما-يشبه-ملابس-الكافرين-دون-قصد
- Imechapishwa: 14/07/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)