Swali: Ni ipi tofauti kati ya Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) kuipa kwake nyongo dunia (زهد) na kujichunga kwake (ورع)?
Jibu: Kuipa nyongo ni katika mambo asiyoyahitajia na hayana umuhimu. Kujichunga ni kuacha mambo yenye utata.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/22173/الفرق-بين-زهده-عليه-الصلاة-والسلام-وورعه-في-الدنيا
- Imechapishwa: 29/10/2022
Swali: Ni ipi tofauti kati ya Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) kuipa kwake nyongo dunia (زهد) na kujichunga kwake (ورع)?
Jibu: Kuipa nyongo ni katika mambo asiyoyahitajia na hayana umuhimu. Kujichunga ni kuacha mambo yenye utata.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/22173/الفرق-بين-زهده-عليه-الصلاة-والسلام-وورعه-في-الدنيا
Imechapishwa: 29/10/2022
https://firqatunnajia.com/kuipa-nyongo-dunia-na-kujichunga/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)