Swali: Ni vipi dunia itakuwa yenye kulaaniwa[1] ilihali ndani yake kuna wanyama na miti?
Jibu: Maana ya kulaaniwa ni kusimangwa. Laana maana yake ni yenye kusemwa vibaya na ni venye kusimangwa vyote vilivyomo ndani yake isipokuwa kumtaja Allaah na yanayohusiana nayo katika kumtii Allaah (´Azza wa Jall) na mengineyo.
[1] Abu Hurayrah (Radhiya Allaahu ´anh) ameeleza kwamba amemsikia Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) akisema:
”Dunia ni yenye kulaaniwa. Kila kilichomo ndani yake ni chenye kulaaniwa isipokuwa kumdhukuru Allaah, yote Anayoyapenda, mwanachuoni na yule mwenye kujifunza.” (Nzuri kwa mujibu wa al-Albaaniy katika “Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb” (74)).
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/22175/ما-معنى-ما-جاء-في-لعن-الدنيا
- Imechapishwa: 29/10/2022
Swali: Ni vipi dunia itakuwa yenye kulaaniwa[1] ilihali ndani yake kuna wanyama na miti?
Jibu: Maana ya kulaaniwa ni kusimangwa. Laana maana yake ni yenye kusemwa vibaya na ni venye kusimangwa vyote vilivyomo ndani yake isipokuwa kumtaja Allaah na yanayohusiana nayo katika kumtii Allaah (´Azza wa Jall) na mengineyo.
[1] Abu Hurayrah (Radhiya Allaahu ´anh) ameeleza kwamba amemsikia Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) akisema:
”Dunia ni yenye kulaaniwa. Kila kilichomo ndani yake ni chenye kulaaniwa isipokuwa kumdhukuru Allaah, yote Anayoyapenda, mwanachuoni na yule mwenye kujifunza.” (Nzuri kwa mujibu wa al-Albaaniy katika “Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb” (74)).
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/22175/ما-معنى-ما-جاء-في-لعن-الدنيا
Imechapishwa: 29/10/2022
https://firqatunnajia.com/maana-kwamba-dunia-ni-yenye-kulaaniwa/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)