Swali: Je, baada ya kumaliza kufunga siku sita za Shawwaal kunachinjwa kichinjwa au kuna sherehe? Nimewasikia baadhi ya watu wakisema kuwa ni lazima kuchinja.
Jibu: Kufunga siku sita za Shawwaal ni kitu kimependekezwa. Baada ya kuimaliza haikusuniwa kuchinja wala kufanya kitu kingine.
´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
´Abdullaah bin Ghudayyaan
Swaalih al-Fawzaan
´Abdul-´Aziyz Aalus-Shaykh
Bakr Abu Zayd
- Muhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Lajnah ad-Daaimah (16730)
- Imechapishwa: 08/05/2022
Swali: Je, baada ya kumaliza kufunga siku sita za Shawwaal kunachinjwa kichinjwa au kuna sherehe? Nimewasikia baadhi ya watu wakisema kuwa ni lazima kuchinja.
Jibu: Kufunga siku sita za Shawwaal ni kitu kimependekezwa. Baada ya kuimaliza haikusuniwa kuchinja wala kufanya kitu kingine.
´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
´Abdullaah bin Ghudayyaan
Swaalih al-Fawzaan
´Abdul-´Aziyz Aalus-Shaykh
Bakr Abu Zayd
Muhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Lajnah ad-Daaimah (16730)
Imechapishwa: 08/05/2022
https://firqatunnajia.com/kuchinja-baada-ya-kumaliza-siku-sita-za-shawwaal/