Swali: Mtu anapotaka kuitika simu arudishe salamu au ahakikishe ni nani anayepiga simu kisha ndio aitikie salamu?
Jibu: Ikiwa ametoa salamu amuitikie salamu. Ikiwa hakutoa salamu amuulize yeye ni nani. Baada ya hapo ndio aseme:
السلام عليك
“Amani iwe juu yako.”
Swali: Kwa msemo mwingine yeye ndiye aanze kuto salamu?
Jibu: Akianza yeye ni sawa. Vinginevyo anza wewe.
Swali: Bora zaidi si yule wa mwisho?
Jibu: Yule wa mwanzo hana haki zaidi ya kuanza kuliko yule wa mwisho.
Swali: Unamaanisha nini?
Jibu: Ninachomaanisha ni kwamba yule wa kwanza hana haki zaidi ya kuanza kutoa salamu kuliko yule wa mwisho. Kwa sababu Allaah amesema:
وَإِذَا حُيِّيتُم بِتَحِيَّةٍ فَحَيُّوا بِأَحْسَنَ مِنْهَا أَوْ رُدُّوهَا
“Mtapoamkiwa kwa maamkizi yoyote, basi itikieni kwa yaliyo mazuri zaidi kuliko hayo au yarudisheni hayo hayo.” (04:86)
Wanazuoni wamesema kwamba inapendeza kuanza kutoa salamu. Lakini ni wajibu kuitikia.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23381/هل-يبدا-بالسلام-عند-الرد-على-الهاتف
- Imechapishwa: 08/01/2024
Swali: Mtu anapotaka kuitika simu arudishe salamu au ahakikishe ni nani anayepiga simu kisha ndio aitikie salamu?
Jibu: Ikiwa ametoa salamu amuitikie salamu. Ikiwa hakutoa salamu amuulize yeye ni nani. Baada ya hapo ndio aseme:
السلام عليك
“Amani iwe juu yako.”
Swali: Kwa msemo mwingine yeye ndiye aanze kuto salamu?
Jibu: Akianza yeye ni sawa. Vinginevyo anza wewe.
Swali: Bora zaidi si yule wa mwisho?
Jibu: Yule wa mwanzo hana haki zaidi ya kuanza kuliko yule wa mwisho.
Swali: Unamaanisha nini?
Jibu: Ninachomaanisha ni kwamba yule wa kwanza hana haki zaidi ya kuanza kutoa salamu kuliko yule wa mwisho. Kwa sababu Allaah amesema:
وَإِذَا حُيِّيتُم بِتَحِيَّةٍ فَحَيُّوا بِأَحْسَنَ مِنْهَا أَوْ رُدُّوهَا
“Mtapoamkiwa kwa maamkizi yoyote, basi itikieni kwa yaliyo mazuri zaidi kuliko hayo au yarudisheni hayo hayo.” (04:86)
Wanazuoni wamesema kwamba inapendeza kuanza kutoa salamu. Lakini ni wajibu kuitikia.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23381/هل-يبدا-بالسلام-عند-الرد-على-الهاتف
Imechapishwa: 08/01/2024
https://firqatunnajia.com/kuanza-kutoa-salamu-inapendeza-lakini-kuitikia-ni-wajibu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)