Swali: Je, mwenyeji aanza kumhudumia mtumzima au aliye upande wa kulia?
Jibu: Ataanza na raisi wa baraza. Kisha raisi wa baraza ataanza na yule aliye upande wa kuliani mwake.
Swali: Kwa hivyo ni sharti mtumzima awe ndiye raisi wa baraza?
Jibu: Ndio, kama walivyokuwa wakianza na Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam).
Swali: Mwenye halmashauri au rais wa halmashauri?
Jibu: Raisi na mkuu wa baraza.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23276/هل-يبدا-المضيف-بالكبير-او-من-على-يمينه
- Imechapishwa: 16/12/2023
Swali: Je, mwenyeji aanza kumhudumia mtumzima au aliye upande wa kulia?
Jibu: Ataanza na raisi wa baraza. Kisha raisi wa baraza ataanza na yule aliye upande wa kuliani mwake.
Swali: Kwa hivyo ni sharti mtumzima awe ndiye raisi wa baraza?
Jibu: Ndio, kama walivyokuwa wakianza na Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam).
Swali: Mwenye halmashauri au rais wa halmashauri?
Jibu: Raisi na mkuu wa baraza.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23276/هل-يبدا-المضيف-بالكبير-او-من-على-يمينه
Imechapishwa: 16/12/2023
https://firqatunnajia.com/kuanza-kumhudumia-raisi-wa-baraza/