Swali: Kitendo chake Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) kinafuta maneno yake?
Jibu: Muda wa kuwa inawezekana kuoanisha haifuti isipokuwa kwa sharti mbili:
1 – Isiwezekane kuoanisha. Ni lazima ishindikane kukusanya.
2 – Historia iwe inatambulika.
Hizi ni miongoni mwa sababu za kukusanya. Ni sawa ikitambulika historia na isiwezekane kukusanya. Ni lazima kuoanisha ikiwezekana kukusanya au historia haitambuliki.
Swali: Wako wanaosema kuwa kitendo hakifuti maneno, kwa sababu kitendo…
Jibu: Kwa sababu kitendo kinafasiri na hakifuti. Kitendo kinafasiri.
Swali: Labda kitendo kinapelekea katika umaalum?
Jibu: Kitendo kinafasiri.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23275/%D9%87%D9%84-%D9%81%D8%B9%D9%84-%D8%A7%D9%84%D9%86%D8%A8%D9%8A-%EF%B7%BA-%D9%8A%D9%86%D8%B3%D8%AE-%D9%82%D9%88%D9%84%D9%87
- Imechapishwa: 16/12/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)