Swali: Kunyoa ndevu ni katika madhambi makubwa?
Jibu: Ni maovu na maasi. Kusema kwamba ni dhambi kubwa, Allaah ndiye mjuzi zaidi.
Swali: Kuendelea kunyoa ndevu si kunaigeuza kutoka katika maasi kwenda katika dhambi kubwa?
Jibu: Ninachokusudia ni kwamba ni maasi. Kufuga ndevu ni lazima. Kuzipunguza au kuzinyoa ni katika maasi. Kusema kwamba ni dhambi kubwa ni jambo linahitaji utafiti mwingine.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23274/هل-حلق-اللحية-من-الكباىر
- Imechapishwa: 16/12/2023
Swali: Kunyoa ndevu ni katika madhambi makubwa?
Jibu: Ni maovu na maasi. Kusema kwamba ni dhambi kubwa, Allaah ndiye mjuzi zaidi.
Swali: Kuendelea kunyoa ndevu si kunaigeuza kutoka katika maasi kwenda katika dhambi kubwa?
Jibu: Ninachokusudia ni kwamba ni maasi. Kufuga ndevu ni lazima. Kuzipunguza au kuzinyoa ni katika maasi. Kusema kwamba ni dhambi kubwa ni jambo linahitaji utafiti mwingine.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23274/هل-حلق-اللحية-من-الكباىر
Imechapishwa: 16/12/2023
https://firqatunnajia.com/kunyoa-na-kukata-ndevu-ni-maasi/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)