Swali: Vipi mtu endapo atachukulia wepesi kuacha swalah moja peke yake?
Jibu: Kwa mujibu wa maoni sahihi anakufuru. Kwa mujibu wa maoni sahihi zaidi ya wanazuoni ni kwamba anakufuru ingawa kwa kuacha swalah moja tu. Hapa ni pale ambapo ataiacha kwa makusudi mpaka ukatoka wakati wake. Ni lazima kwake kutubu na kurejea kwa Allaah. Akitubu basi Allaah atamkubalia tawbah yake.
Swali: Vipi kuacha swalah ya ´Aswr?
Jibu: Ni mamoja Fajr, Dhuhr na nyenginezo.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/22506/حكم-من-ترك-صلاة-واحدة-تهاونا-وكسلا
- Imechapishwa: 30/06/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)