Swali: Kafara ya mume kumfananisha mke na mama yake inadondoka akimtaliki mwanamke huyo?
Jibu: Katika hali hiyo kafara ya kumfananisha mke na mama haitomuwajibikia. Isipokuwa ikiwa atamjamii. Akimtaliki atakuwa hana kafara. Lakini akimrejea haifai kumwingilia mke mpaka kwanza atoe kafara hiyo.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/21962/هل-تسقط-كفارة-الظهار-بطلاق-الزوجة
- Imechapishwa: 06/10/2022
Swali: Kafara ya mume kumfananisha mke na mama yake inadondoka akimtaliki mwanamke huyo?
Jibu: Katika hali hiyo kafara ya kumfananisha mke na mama haitomuwajibikia. Isipokuwa ikiwa atamjamii. Akimtaliki atakuwa hana kafara. Lakini akimrejea haifai kumwingilia mke mpaka kwanza atoe kafara hiyo.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/21962/هل-تسقط-كفارة-الظهار-بطلاق-الزوجة
Imechapishwa: 06/10/2022
https://firqatunnajia.com/kafara-ya-kumfananisha-mke-na-mama-haiwajibiki-endapo-mume-atamwacha/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)