Swali: Je, mwanamke analazimika kumuomba idhini mume wake wakati wa kulipa swawm?
Jibu: Hapana, analazimika kuilipa. Lakini ni sawa haja ikipelekea kuchelewesha. Vilevile mume akimuomba acheleweshe. ´Aaishah (Radhiya Allaahu ´anhaa) alikuwa akichelewesha kulipa swawm ya deni.
Swali: Lakini amuombee idhini mume?
Jibu: Ni vyema swawm ya deni amuombe idhini. Kwa sababu wakati wake ni mpana. Swawm ya kulipa wakati wake ni mpana.
Swali: Wakati ukiwa mfinyu?
Jibu: Wakati ukishakuwa mfinyu basi hapo hakuna idhini.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/21963/هل-يلزم-المراة-استىذان-زوجها-لصوم-القضاء
- Imechapishwa: 06/10/2022
Swali: Je, mwanamke analazimika kumuomba idhini mume wake wakati wa kulipa swawm?
Jibu: Hapana, analazimika kuilipa. Lakini ni sawa haja ikipelekea kuchelewesha. Vilevile mume akimuomba acheleweshe. ´Aaishah (Radhiya Allaahu ´anhaa) alikuwa akichelewesha kulipa swawm ya deni.
Swali: Lakini amuombee idhini mume?
Jibu: Ni vyema swawm ya deni amuombe idhini. Kwa sababu wakati wake ni mpana. Swawm ya kulipa wakati wake ni mpana.
Swali: Wakati ukiwa mfinyu?
Jibu: Wakati ukishakuwa mfinyu basi hapo hakuna idhini.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/21963/هل-يلزم-المراة-استىذان-زوجها-لصوم-القضاء
Imechapishwa: 06/10/2022
https://firqatunnajia.com/mke-kuomba-idhini-katika-swawm-ya-kulipa/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)