Swali: Inazingatiwa kuwa ni usengenyaji kumsema mtoto kwa kitu ambacho akikisikia kitamuudhi?
Jibu: Usengenaji haijuzu, sawa ikiwa ni kwa mtoto au mtu mkubwa. Kuwasema watu vibaya haijuzu. Haijalishi kitu ikiwa ni mtoto au mtu mkubwa. Mtoto ndio hana haki? Mtoto ana haki zaidi ya kutofanyiwa hivi kwa kuwa ni kiumbe dhaifu. Kwa hivyo ana haki zaidi ya kufanyiwa upole na kuonewa huruma. Alelewe vizuri.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (66) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1432-04-16.mp3
- Imechapishwa: 21/08/2020
Swali: Inazingatiwa kuwa ni usengenyaji kumsema mtoto kwa kitu ambacho akikisikia kitamuudhi?
Jibu: Usengenaji haijuzu, sawa ikiwa ni kwa mtoto au mtu mkubwa. Kuwasema watu vibaya haijuzu. Haijalishi kitu ikiwa ni mtoto au mtu mkubwa. Mtoto ndio hana haki? Mtoto ana haki zaidi ya kutofanyiwa hivi kwa kuwa ni kiumbe dhaifu. Kwa hivyo ana haki zaidi ya kufanyiwa upole na kuonewa huruma. Alelewe vizuri.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (66) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1432-04-16.mp3
Imechapishwa: 21/08/2020
https://firqatunnajia.com/inajuzu-kuwasengenya-watoto/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)