Usilipe fursa jitu la Bid´ah kujadiliana naye

Swali: Rafiki yangu kazini ana shubuha nyingi. Mara nyingi hujadiliana naye kisha huazimia kuwa sintorudi kujadiliana naye tena kutokana na ninavyojua madhara ya mijadala katika dini yangu. Lakini inatokea wakati mwingine najadiliana naye tena…

Jibu: Usimpe fursa ya kufanya naye mjadala. Akikuuliza kitu nyamaza na mpuuze. Msuse na umkate. Usimpe fursa ya kufanya naye mjadala.

  • Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (65) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1432-04-09.mp3
  • Imechapishwa: 21/08/2020