Swali: Je, inajuzu kwa mtu kukaa kwa kushegama na huku amepandisha mguu juu ya mwingine au mkao huu haujuzu kutokana na yaliyopokelewa katika Hadiyth ya kwamba hii ni sifa ya Allaah (Jalla Jalaaluh) na haijuzu kwa yeyote kusifika nayo?
Jibu: Allaah anaweka mguu juu ya mwingine? Ni nani aliyesema hivi? Haina neno akakaa na huku ameweka mguu juu ya mwingine na kwa staili anayotaka. Ni nani anayezuia hili. Lililo la wajibu ni yeye kusitiri viungo vyake visivyotakiwa kuonekana. Ama staili ya kukaa akae staili yoyote ambayo ni sahali kwake.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (60) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1432-01-28.mp3
- Imechapishwa: 21/08/2020
Swali: Je, inajuzu kwa mtu kukaa kwa kushegama na huku amepandisha mguu juu ya mwingine au mkao huu haujuzu kutokana na yaliyopokelewa katika Hadiyth ya kwamba hii ni sifa ya Allaah (Jalla Jalaaluh) na haijuzu kwa yeyote kusifika nayo?
Jibu: Allaah anaweka mguu juu ya mwingine? Ni nani aliyesema hivi? Haina neno akakaa na huku ameweka mguu juu ya mwingine na kwa staili anayotaka. Ni nani anayezuia hili. Lililo la wajibu ni yeye kusitiri viungo vyake visivyotakiwa kuonekana. Ama staili ya kukaa akae staili yoyote ambayo ni sahali kwake.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (60) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1432-01-28.mp3
Imechapishwa: 21/08/2020
https://firqatunnajia.com/inajuzu-kukaa-kwa-kuweka-mguu-juu-ya-mwingine/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)