Swali: Baadhi yetu huandika Aayah za makaa na sukari kwenye karatasi kisha wanaziweka ndani ya chombo kilicho na maji kisha wanakunywa. Ni ipi hukumu ya hili?
Jibu: Bora iwe kwa kitu kingine kisichokuwa makaa ima kwa zafarani au kitu kingine kisichodhuru. Hapana vibaya kufanya hivo. Hapana neno Aayah za Qur-aan zikiandikwa kwa zafarani kwenye karatasi au sahani kisha akanywa.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/22289/حكم-كتابة-ايات-ووضعها-في-ماء-للتداوي
- Imechapishwa: 27/01/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)