Swali: Mwanamke anapata dhambi ikiwa Hijaab yake inawafitinisha wanamme?
Jibu: Kwa hali yoyote mambo ni kama alivosema Allaah:
وَلَا تَبَرَّجْنَ تَبَرُّجَ الْجَاهِلِيَّةِ الْأُولَىٰ
”… na wala msijishauwe kwa kuonyesha mapambo kama walivyojishauwa mwanzo zama za ujahili.”[1]
Mwanamke ameamrishwa kujisitiri, ameamrishwa kutojipamba na kuonyesha mapambo ambayo kunafitinisha. Ni lazima kwake kuvaa mavazi ya kawaida na asiwatie mtihani wanamme.
Swali: Hivi sasa wanatengeneza ´Abaa´ah na wanaandika juu yake jina la mwanamke.
Jibu: Hili ni kosa. Kitendo hicho kinafanya watu kumtazama na ni fitina.
Swali: Ni katika kutambulika?
Jibu: Haifai kufanya hivo. Ni fitina. Haijuzu. Hiyo maana yake ni kwamba anawatambulisha watu ambao wanapita kando naye.
[1] 33:33
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/21927/ما-حكم-الحجاب-الذي-فيه-فتنة-للرجال
- Imechapishwa: 05/10/2022
Swali: Mwanamke anapata dhambi ikiwa Hijaab yake inawafitinisha wanamme?
Jibu: Kwa hali yoyote mambo ni kama alivosema Allaah:
وَلَا تَبَرَّجْنَ تَبَرُّجَ الْجَاهِلِيَّةِ الْأُولَىٰ
”… na wala msijishauwe kwa kuonyesha mapambo kama walivyojishauwa mwanzo zama za ujahili.”[1]
Mwanamke ameamrishwa kujisitiri, ameamrishwa kutojipamba na kuonyesha mapambo ambayo kunafitinisha. Ni lazima kwake kuvaa mavazi ya kawaida na asiwatie mtihani wanamme.
Swali: Hivi sasa wanatengeneza ´Abaa´ah na wanaandika juu yake jina la mwanamke.
Jibu: Hili ni kosa. Kitendo hicho kinafanya watu kumtazama na ni fitina.
Swali: Ni katika kutambulika?
Jibu: Haifai kufanya hivo. Ni fitina. Haijuzu. Hiyo maana yake ni kwamba anawatambulisha watu ambao wanapita kando naye.
[1] 33:33
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/21927/ما-حكم-الحجاب-الذي-فيه-فتنة-للرجال
Imechapishwa: 05/10/2022
https://firqatunnajia.com/hijaab-ambazo-zinawafitinisha-wanamme/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)