Swali: Je, ni sahihi kusema kuwa kila kitu kinachomshughulisha mtu na kumtii Allaah ya kwamba kitu hicho ni katika fitina?
Jibu: Ndio. Kila kitu kinachomshughulisha mtu na kumtii Allaah ni katika fitina. Hili hali shaka ndani yake ya kwamba kila kinachoshughulisha na kumtii Allaah ni aina ya fitina.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Kitaab Ahaadiyth-il-Fitnah (3) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/ftn–1432-08-17.mp3
- Imechapishwa: 21/04/2015
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket