Matn ya al-´Aqiydah at-Twahaawiyyah inahusiana na somo la msingi ambalo ni ´Aqiydah. Somo la ´Aqiydah ni somo tukufu ukilinganisha na masomo mengine. Kwa kuwa utukufu wa elimu unatokamana na kile kinachosomwa. Kinachosomwa hapa ni Allaah (Subhaanahu wa Ta´ala). Somo la elimu ya dini linahusiana na kumsoma Allaah, majina na sifa Zake na Matendo Yake. Huu ndio uelewa mkubwa kwa nisba ya uelewa wa matawi.
- Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajhiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Hidaayah ar-Rabbaaniyyah fiy Sharh al-´Aqiydah at-Twahaawiyyah (06/01)
- Imechapishwa: 07/06/2020
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)