Swali: Je, imethibiti kuwa ´Umar aliona kuwa adhaana ya ´Uthmaan bin ´Affaan (Radhiya Allaahu ´anhumaa) kuwa ni Bid´ah?
Jibu: Hapana. ´Uthmaan bin ´Affaan (Radhiya Allaahu ´anh) ni khaliyfah wa tatu miongoni mwa makhaliyfah waongofu. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Jilazimieni na Sunnah zangu na Sunnah za makhaliyfah wangu waongofu na wenye kuongoza baada yangu.”
Wanaosema kuwa adhaana ya kwanza ni Bid´ah watu hawa hawajui Bid´ah nini. Kila kitu wasichokijua wanakiona kuwa ni Bid´ah. Wanamzingatia ´Uthmaan (Radhiya Allaahu ´anh) kuwa ni mzushi! Wanawazingatia makhaliyfah waongofu wazushi?
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/eg–14041434.mp3
- Imechapishwa: 28/04/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)