Swali: Kuna makabila ambayo yanaachwa wahukumiwe na mahakimu kwa mila za makabila. Ni ipi hukumu ya nasaha hizi na kurejea kwao?
Jibu: Katika mji huu kuna mahakama katika kila mji au kitongoji. Kwa ajili hiyo hakuna haja ya watu hawa. Aende mahakamani. Haijuzu kuwaacha watu hawa wakawahukumu wengine kwa mila hizi za kikabila. Haijuzu. Wasikubaliane nao kwa mambo kama haya.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (30) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/ighastah%20%20-%2025-12-1435.mp3
- Imechapishwa: 16/06/2015
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)