Swali: Tumesoma katika baadhi ya vitabu vya Fiqh kwamba inafaa kwa baba – pale anapoona kuna manufaa – akamlazimisha ndoa mvulana au msichana wake?
Jibu: Sio sahihi. Halazimishwi mtoto wa kiume wala mtoto wa kike. Lakini akiwa ni msichana mdogo chini ya miaka tisa inafaa kwake kumuozesha. Hii ni haki ya baba pekee.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23836/هل-للولي-ارغام-ابنه-او-ابنته-على-الزواج
- Imechapishwa: 16/05/2024
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)