Swali: Je, mtu anapata fadhilah zilizotajwa akihisi uvivu kuswali Sunnah Rak´ah nne kabla ya Dhuhr na Rak´ah nne baada ya Dhuhr?
Jibu: Ni swalah inayopendeza na hakuna juu yake kitu. Ni swalah inayopendeza na hapati dhambi.
Swali: Je, anapata fadhilah hizi ya kwamba ataingia Peponi?
Jibu: Pepo imefungamana na kufanya yale aliyowajibisha Allaah na kuyaacha yale aliyoharamisha. Muumini ameahidiwa Pepo ijapo hatoswali swalah zinazopendeza. Lakini akiswali swalah zinazopendeza ngazi yake inakuwa ya juu zaidi kuliko zilizotangulia.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/22555/هل-يحصل-فضل-سنن-الظهر-لو-تركها-احيانا
- Imechapishwa: 16/06/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)