Swali: Baadhi ya maimamu wa misikiti katika Ramadhaan hawasomi du´aa ya kufungulia swalah katika Tarawiyh. Ni ipi hukumu ya kitendo chao hichi?
Jibu: Du´aa ya kufungulia swalah ni jambo limependekezwa katika faradhi na swalah za sunnah. Yule atakayeiacha hakuna neno juu yake.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (11/74)
- Imechapishwa: 09/10/2021
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)