Swali: Baadhi ya maimamu wa misikiti katika Ramadhaan hawasomi du´aa ya kufungulia swalah katika Tarawiyh. Ni ipi hukumu ya kitendo chao hichi?
Jibu: Du´aa ya kufungulia swalah ni jambo limependekezwa katika faradhi na swalah za sunnah. Yule atakayeiacha hakuna neno juu yake.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (11/74)
- Imechapishwa: 09/10/2021
Swali: Baadhi ya maimamu wa misikiti katika Ramadhaan hawasomi du´aa ya kufungulia swalah katika Tarawiyh. Ni ipi hukumu ya kitendo chao hichi?
Jibu: Du´aa ya kufungulia swalah ni jambo limependekezwa katika faradhi na swalah za sunnah. Yule atakayeiacha hakuna neno juu yake.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (11/74)
Imechapishwa: 09/10/2021
https://firqatunnajia.com/duaa-ya-kufungulia-swalah-ni-sunnah-katika-faradhi-na-swalah-za-sunnah/