Swali: Ni ipi hukumu ya kutamka kwa sauti nia ya swalah?
Jibu: Kutamka nia ni Bid´ah. Kuidhihirisha kwa sauti ni dhambi zaidi. Sunnah ni kunuia kwa moyo. Kwani Allaah (Subhaanah) anajua siri na yaliyojificha. Yeye ndiye kasema:
قُلْ أَتُعَلِّمُونَ اللَّـهَ بِدِينِكُمْ وَاللَّـهُ يَعْلَمُ مَا فِي السَّمَاوَاتِ وَمَا فِي الْأَرْضِ
”Sema: ”Je, mnamfundisha Allaah juu ya dini yenu na hali Allaah anayajua yale yaliyomo mbinguni na yale yaliyomo ardhini?”[1]
Haikuthibiti kutoka kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam), mmoja katika Maswahabah wala kutoka kwa maimamu wanaofuatwa kwamba walitamka nia. Kwa hiyo ikatambulika kwa njia hiyo kwamba si jambo lililowekwa katika Shari´ah. Bali ni miongoni mwa Bid´ah zilizozuliwa.
[1] 49:16
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (10/423)
- Imechapishwa: 09/10/2021
Swali: Ni ipi hukumu ya kutamka kwa sauti nia ya swalah?
Jibu: Kutamka nia ni Bid´ah. Kuidhihirisha kwa sauti ni dhambi zaidi. Sunnah ni kunuia kwa moyo. Kwani Allaah (Subhaanah) anajua siri na yaliyojificha. Yeye ndiye kasema:
قُلْ أَتُعَلِّمُونَ اللَّـهَ بِدِينِكُمْ وَاللَّـهُ يَعْلَمُ مَا فِي السَّمَاوَاتِ وَمَا فِي الْأَرْضِ
”Sema: ”Je, mnamfundisha Allaah juu ya dini yenu na hali Allaah anayajua yale yaliyomo mbinguni na yale yaliyomo ardhini?”[1]
Haikuthibiti kutoka kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam), mmoja katika Maswahabah wala kutoka kwa maimamu wanaofuatwa kwamba walitamka nia. Kwa hiyo ikatambulika kwa njia hiyo kwamba si jambo lililowekwa katika Shari´ah. Bali ni miongoni mwa Bid´ah zilizozuliwa.
[1] 49:16
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (10/423)
Imechapishwa: 09/10/2021
https://firqatunnajia.com/kutamka-nia-kwa-sauti/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)