Swali: Kuna muislamu aliyekuwa anajadiliana na mnaswara ambapo yule mnaswara akamtukana Muhammad (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam), yule muislamu na yeye akamtukana ´Iysaa (´alayhis-Salaam) ili kumkasirisha yule mnaswara bila ya kujua kuwa kitendo hichi ni kufuru. Je, anapewa udhuru kwa ujinga na ana nini juu yake?
Jibu: Ikiwa ni mjinga anatakiwa kubainishiwa ya kwamba lau angelikuwa ni mwenye kukusudia kweli na mwenye kufanyia kusudi angelikufuru. Lakini ujinga unamzuia na kufuru mpaka abainishiwe. Haijuzu kuwatukana Mitume (´alayhimus-Swalaatu was-Salaam).
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Qaa´idah Jaliylah fiyt-Tawassul wal-Wasiylah (37) http://alfawzan.af.org.sa/node/2148
- Imechapishwa: 13/07/2020
Swali: Kuna muislamu aliyekuwa anajadiliana na mnaswara ambapo yule mnaswara akamtukana Muhammad (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam), yule muislamu na yeye akamtukana ´Iysaa (´alayhis-Salaam) ili kumkasirisha yule mnaswara bila ya kujua kuwa kitendo hichi ni kufuru. Je, anapewa udhuru kwa ujinga na ana nini juu yake?
Jibu: Ikiwa ni mjinga anatakiwa kubainishiwa ya kwamba lau angelikuwa ni mwenye kukusudia kweli na mwenye kufanyia kusudi angelikufuru. Lakini ujinga unamzuia na kufuru mpaka abainishiwe. Haijuzu kuwatukana Mitume (´alayhimus-Swalaatu was-Salaam).
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Qaa´idah Jaliylah fiyt-Tawassul wal-Wasiylah (37) http://alfawzan.af.org.sa/node/2148
Imechapishwa: 13/07/2020
https://firqatunnajia.com/baada-ya-mnaswara-kumtukana-muhammad-na-yeye-amemtukana-iysaa/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)