Swali: Mke wangu anadaiwa Ramadhaan tatu au nne anazotakiwa kulipa na hakuweza kuzifunga kwa sababu ya ujauzito au kunyonyesha. Hivi sasa ananyonyesha. Anauliza kama anapata ruhusa ya kulisha chakula kwa sababu anapata uzito mkubwa wa kulipa kwa idadi ya Ramadhaan tatu au nne?
Jibu: Hapana neno kwake kuchelewesha kulipa ikiwa ni kutokana na uzito anaopata kwa sababu ya ujauzito na kunyonyesha. Pale atakapoweza basi atatakiwa kuharakisha kulipa kwa sababu ana hukumu moja kama mgonjwa. Allaah (Subhaanahu wa Ta´ala) amesema:
فَمَن شَهِدَ مِنكُمُ الشَّهْرَ فَلْيَصُمْهُ وَمَن كَانَ مَرِيضًا أَوْ عَلَىٰ سَفَرٍ فَعِدَّةٌ مِّنْ أَيَّامٍ أُخَرَ
“Basi atakayeshuhudia miongoni mwenu mwezi mpya na afunge na atakayekuwa mgonjwa au safarini, basi atimize idadi katika masiku mengine.” (02:185)
Halazimiki kulisha chakula.
´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
´Abdur-Razzaaq ´Afiyfiy
´Abdullaah bin Qu´uud
- Mhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Lajnah ad-Daaimah (10/222) nr. (6608)
- Imechapishwa: 25/04/2022
Swali: Mke wangu anadaiwa Ramadhaan tatu au nne anazotakiwa kulipa na hakuweza kuzifunga kwa sababu ya ujauzito au kunyonyesha. Hivi sasa ananyonyesha. Anauliza kama anapata ruhusa ya kulisha chakula kwa sababu anapata uzito mkubwa wa kulipa kwa idadi ya Ramadhaan tatu au nne?
Jibu: Hapana neno kwake kuchelewesha kulipa ikiwa ni kutokana na uzito anaopata kwa sababu ya ujauzito na kunyonyesha. Pale atakapoweza basi atatakiwa kuharakisha kulipa kwa sababu ana hukumu moja kama mgonjwa. Allaah (Subhaanahu wa Ta´ala) amesema:
فَمَن شَهِدَ مِنكُمُ الشَّهْرَ فَلْيَصُمْهُ وَمَن كَانَ مَرِيضًا أَوْ عَلَىٰ سَفَرٍ فَعِدَّةٌ مِّنْ أَيَّامٍ أُخَرَ
“Basi atakayeshuhudia miongoni mwenu mwezi mpya na afunge na atakayekuwa mgonjwa au safarini, basi atimize idadi katika masiku mengine.” (02:185)
Halazimiki kulisha chakula.
´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
´Abdur-Razzaaq ´Afiyfiy
´Abdullaah bin Qu´uud
Mhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Lajnah ad-Daaimah (10/222) nr. (6608)
Imechapishwa: 25/04/2022
https://firqatunnajia.com/anadaiwa-ramadhaan-nne-kwa-sababu-ya-mimba-na-kunyonyesha/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)