Swali: Muadhini ameadhini kwa ajili ya Fajr kisha akakumbushwa kuwa kumebakia nusu saa mpaka kupambazuke. Je, asimamishe adhaana na kunyamaza au akamilishe adhaana?
Jibu: Aikate, aikate adhaana ikiwa hana mazowea ya kutoa adhaana ya kwanza ili asiwatatize watu.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23701/حكم-من-تنبه-وهو-يوذن-للفجر-انه-قبل-الوقت
- Imechapishwa: 06/04/2024
Swali: Muadhini ameadhini kwa ajili ya Fajr kisha akakumbushwa kuwa kumebakia nusu saa mpaka kupambazuke. Je, asimamishe adhaana na kunyamaza au akamilishe adhaana?
Jibu: Aikate, aikate adhaana ikiwa hana mazowea ya kutoa adhaana ya kwanza ili asiwatatize watu.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23701/حكم-من-تنبه-وهو-يوذن-للفجر-انه-قبل-الوقت
Imechapishwa: 06/04/2024
https://firqatunnajia.com/amekumbushwa-katikati-ya-adhaana-kuwa-bado-muda-wa-adhaana/