Swali: Muadhini ameadhini kwa ajili ya Fajr kisha akakumbushwa kuwa kumebakia nusu saa mpaka kupambazuke. Je, asimamishe adhaana na kunyamaza au akamilishe adhaana?
Jibu: Aikate, aikate adhaana ikiwa hana mazowea ya kutoa adhaana ya kwanza ili asiwatatize watu.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23701/حكم-من-تنبه-وهو-يوذن-للفجر-انه-قبل-الوقت
- Imechapishwa: 06/04/2024
Swali: Muadhini ameadhini kwa ajili ya Fajr kisha akakumbushwa kuwa kumebakia nusu saa mpaka kupambazuke. Je, asimamishe adhaana na kunyamaza au akamilishe adhaana?
Jibu: Aikate, aikate adhaana ikiwa hana mazowea ya kutoa adhaana ya kwanza ili asiwatatize watu.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23701/حكم-من-تنبه-وهو-يوذن-للفجر-انه-قبل-الوقت
Imechapishwa: 06/04/2024
https://firqatunnajia.com/amekumbushwa-katikati-ya-adhaana-kuwa-bado-muda-wa-adhaana/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)