566 – Nilimuuliza Shaykh wetu kuhusu mtu aliyemwambia mwanamke wa kando: “Wewe kwangu ni kama mama yangu” kisha baadaye akataka kumuoa. Je, anapaswa kutoa kafara ya kumfananisha mke na mama?
Jibu: Ikiwa atamuoa, basi anatakiwa kutoa kafara ya kiapo kwa sababu mwanamke huyo hakuwa mke wake. Hilo ni kutokana na maneno Yake (´Azza wa Jall):
لِّلَّذِينَ يُؤْلُونَ مِن نِّسَائِهِمْ
”Kwa wale walioapa kujitenga na wake zao [kutokujamiiana]… ” (02:226)
Lakini hakuna chochote kinachompasa kufanya ikiwa hatomuoa.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 194
- Imechapishwa: 12/03/2025
- Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
566 – Nilimuuliza Shaykh wetu kuhusu mtu aliyemwambia mwanamke wa kando: “Wewe kwangu ni kama mama yangu” kisha baadaye akataka kumuoa. Je, anapaswa kutoa kafara ya kumfananisha mke na mama?
Jibu: Ikiwa atamuoa, basi anatakiwa kutoa kafara ya kiapo kwa sababu mwanamke huyo hakuwa mke wake. Hilo ni kutokana na maneno Yake (´Azza wa Jall):
لِّلَّذِينَ يُؤْلُونَ مِن نِّسَائِهِمْ
”Kwa wale walioapa kujitenga na wake zao [kutokujamiiana]… ” (02:226)
Lakini hakuna chochote kinachompasa kufanya ikiwa hatomuoa.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 194
Imechapishwa: 12/03/2025
Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
https://firqatunnajia.com/amejiharamishia-mwanamke-baadaye-akataka-kumuoa/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)