562 – Nilimuuliza Shaykh kuhusu mume anayemwambia mkewe “Ee dada yangu”?
Jibu: Ni bora kuepuka maneno hayo, bali aseme: “Dada yangu kwa ajili ya Allaah”, kama alivyosema Ibraahiym kwa mkewe Saarah: “Wewe ni dada yangu”, akiwa na maana ni dada yake kwa ajili ya Allaah.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 194
- Imechapishwa: 12/03/2025
- Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
562 – Nilimuuliza Shaykh kuhusu mume anayemwambia mkewe “Ee dada yangu”?
Jibu: Ni bora kuepuka maneno hayo, bali aseme: “Dada yangu kwa ajili ya Allaah”, kama alivyosema Ibraahiym kwa mkewe Saarah: “Wewe ni dada yangu”, akiwa na maana ni dada yake kwa ajili ya Allaah.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 194
Imechapishwa: 12/03/2025
Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
https://firqatunnajia.com/dada-yangu-kwa-ajili-ya-allaah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)