561 – Nilimuuliza Shaykh wetu kuhusu mtu anayesema kuwa ambaye amejiharamishia mke wake anatakiwa kutoa kafara ya kiapo?
Jibu: Hapana, isipokuwa ikiwa amefanya hivyo kwa kutundika juu ya kitu, kama vile kuhimiza au kuzuia jambo. Katika hali hiyo anatakiwa kutoa kafara ya kiapo. Lakini ikiwa amesema tu “Wewe kwangu ni haramu” bila masharti yoyote, basi huko ni kumfananisha mke na mama.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 194
- Imechapishwa: 12/03/2025
- Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
561 – Nilimuuliza Shaykh wetu kuhusu mtu anayesema kuwa ambaye amejiharamishia mke wake anatakiwa kutoa kafara ya kiapo?
Jibu: Hapana, isipokuwa ikiwa amefanya hivyo kwa kutundika juu ya kitu, kama vile kuhimiza au kuzuia jambo. Katika hali hiyo anatakiwa kutoa kafara ya kiapo. Lakini ikiwa amesema tu “Wewe kwangu ni haramu” bila masharti yoyote, basi huko ni kumfananisha mke na mama.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 194
Imechapishwa: 12/03/2025
Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
https://firqatunnajia.com/wewe-kwangu-ni-haramu-iii/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)