567 – Vipi kuhusu maombolezo ya kitaifa na kushusha bendera nusu mlingoti?
Jibu: Ni kitu hakina msingi. Muda wa kukaa eda umefanywa kuwa siku tatu au chini ya hapo, na hayo ni maalum kwa wanawake ambapo wanawakalia eda baba zao au ndugu zao wa kiume. Mwanaume hana hakai eda.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 194
- Imechapishwa: 12/03/2025
- Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
567 – Vipi kuhusu maombolezo ya kitaifa na kushusha bendera nusu mlingoti?
Jibu: Ni kitu hakina msingi. Muda wa kukaa eda umefanywa kuwa siku tatu au chini ya hapo, na hayo ni maalum kwa wanawake ambapo wanawakalia eda baba zao au ndugu zao wa kiume. Mwanaume hana hakai eda.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 194
Imechapishwa: 12/03/2025
Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
https://firqatunnajia.com/maombolezo-ya-kitaifa/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)