Swali: Mwanaume anataka kumsusa mke wake kwa ajili ya kumtia adabu ambapo akaapa kuwa hatoingia nyumbani kwake kwa muda wa mwezi mmoja na kwamba kipindi hicho atakuwa kwa mke wake mwingine. Je, inafaa kufanya hivo?
Jibu: Hapana, haijuzu. Anatakiwa kutoa kafara ya kiapo chake na aingie ndani nyumba ya mke wake.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (38)
- Imechapishwa: 23/06/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)