Swali: Je, inafaa kwa mwanamke kuwazawadia nyusiku zake kwa wake wengine wa mume wake kwa kipindi cha muda maalum peke yake, kwa mfano muda ambao ni mgonjwa, baadaye akataka kugawanyiwa zamu tena?
Jibu: Inafaa kwake kufanya hivo. Ni haki yake kufanya hivo.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (38)
- Imechapishwa: 23/06/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)