Swali: Je, ni miongoni mwa alama za usiku wa Qadar kwmaba usiku wake kunajitokeza nuru kutoka mbinguni ambayo hawaioni isipokuwa wale waja wema peke yake. Inanasibishwa kwamba wako baadhi ya waja wema ambao wameona nuru hii na kwamba ishara hii imetangaa kati ya watu. Nawatambua baadhi ya waja wema – nawadhania hivo na wala simtakasi yeyote mbele ya Allaah – inasemwa kwamba waliona kitu hicho. Ni upi usahihi wa alama hii? Je, alama hiyo ina msingi katika Shari´ah takasifu?
Jibu: Hatujui msingi katika Shari´ah takasifu kwamba uliyotaja katika swali ni katika alama ya usiku wa Qadar.
´Abdul-´Aziyz Aalish-Shaykh
´Abdullaah bin al-Ghudayyaan
Swaalih al-Fawzaan
- Mhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Lajnah ad-Daaimah ( 21787)
- Imechapishwa: 24/04/2022
Swali: Je, ni miongoni mwa alama za usiku wa Qadar kwmaba usiku wake kunajitokeza nuru kutoka mbinguni ambayo hawaioni isipokuwa wale waja wema peke yake. Inanasibishwa kwamba wako baadhi ya waja wema ambao wameona nuru hii na kwamba ishara hii imetangaa kati ya watu. Nawatambua baadhi ya waja wema – nawadhania hivo na wala simtakasi yeyote mbele ya Allaah – inasemwa kwamba waliona kitu hicho. Ni upi usahihi wa alama hii? Je, alama hiyo ina msingi katika Shari´ah takasifu?
Jibu: Hatujui msingi katika Shari´ah takasifu kwamba uliyotaja katika swali ni katika alama ya usiku wa Qadar.
´Abdul-´Aziyz Aalish-Shaykh
´Abdullaah bin al-Ghudayyaan
Swaalih al-Fawzaan
Mhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Lajnah ad-Daaimah ( 21787)
Imechapishwa: 24/04/2022
https://firqatunnajia.com/alama-ya-usiku-wa-qadar-nuru-kubwa-kutoka-mbinguni/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)