Swali: Ni ipi hukumu ya kusherehekea usiku wa tarehe 27 wa Ramadhaan peke yake?
Jibu: Kusherehekea usiku wa tarehe 27 wa Ramadhaan peke yake ni Bid´ah iliyozuliwa. Imethibiti kutoka kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) kwamba amesema:
“Yeyote atakayezua katika amri yetu hii yale yasiyokuwemo, basi atarudishiwa mwenyewe.”[1]
Kilichosuniwa ni kuhuisha usiku huo kwa kufanya ´ibaadah, kutoa swadaqah na mfano wake kama zilivyo nyusiku nyingine za kumi la mwisho.
´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
´Abdur-Razzaaq ´Afiyfiy
´Abdullaah bin Ghudayyaan
[1] Al-Bukhaariy na Muslim.
- Mhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Lajnah ad-Daaimah (03/60) nr. (9761)
- Imechapishwa: 24/04/2022
Swali: Ni ipi hukumu ya kusherehekea usiku wa tarehe 27 wa Ramadhaan peke yake?
Jibu: Kusherehekea usiku wa tarehe 27 wa Ramadhaan peke yake ni Bid´ah iliyozuliwa. Imethibiti kutoka kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) kwamba amesema:
“Yeyote atakayezua katika amri yetu hii yale yasiyokuwemo, basi atarudishiwa mwenyewe.”[1]
Kilichosuniwa ni kuhuisha usiku huo kwa kufanya ´ibaadah, kutoa swadaqah na mfano wake kama zilivyo nyusiku nyingine za kumi la mwisho.
´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
´Abdur-Razzaaq ´Afiyfiy
´Abdullaah bin Ghudayyaan
[1] Al-Bukhaariy na Muslim.
Mhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Lajnah ad-Daaimah (03/60) nr. (9761)
Imechapishwa: 24/04/2022
https://firqatunnajia.com/sherehe-usiku-wa-tarehe-27-ramadhaan/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)