Swali: Ni ipi hukumu nikinuia kufunga kabla ya kupambazuka alfajiri na nikalala kisha nikaamka na alfajiri haijaingia ambapo nikala nikanywa halafu nikanuia tena na kulala mpaka ikapambazuka alfajiri?
Jibu: Ukinuia kufunga kisha ukala kabla ya kupambazuka alfajiri kisha ukanuia kufunga kwa mara ya pili na ukajizuilia kuanzia kuchomoza kwa alfajiri mpaka kuzama kwa jua, basi swawm yako ni sahihi.
´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
´Abdur-Razzaaq ´Afiyfiy
´Abdullaah bin al-Ghudayyaan
- Mhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Lajnah ad-Daaimah (10/335) nr. (12029)
Swali: Ni ipi hukumu nikinuia kufunga kabla ya kupambazuka alfajiri na nikalala kisha nikaamka na alfajiri haijaingia ambapo nikala nikanywa halafu nikanuia tena na kulala mpaka ikapambazuka alfajiri?
Jibu: Ukinuia kufunga kisha ukala kabla ya kupambazuka alfajiri kisha ukanuia kufunga kwa mara ya pili na ukajizuilia kuanzia kuchomoza kwa alfajiri mpaka kuzama kwa jua, basi swawm yako ni sahihi.
´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
´Abdur-Razzaaq ´Afiyfiy
´Abdullaah bin al-Ghudayyaan
Mhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Lajnah ad-Daaimah (10/335) nr. (12029)
https://firqatunnajia.com/amelala-na-nia-mpaka-kukapambazuka-alfajiri/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)