Swali: Kulikuwa na kitambo gani kati ya daku na swalah ya Fajr?
Jibu: Wakati wa daku unatanda mpaka kuingia kwa alfajiri. Amesema (Ta´ala):
وَكُلُوا وَاشْرَبُوا حَتَّىٰ يَتَبَيَّنَ لَكُمُ الْخَيْطُ الْأَبْيَضُ مِنَ الْخَيْطِ الْأَسْوَدِ مِنَ الْفَجْرِ
“Kuleni na kunyweni mpaka ubainike kwenu uzi mweupe wa alfajiri kutokana na uzi mweusi.”[1]
Vilevile Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Bilaal anaadhini usiku. Hivyo kuleni na kunyweni mpaka aadhini Ibn Umm Maktuum.”
Ameipokea al-Bukhaariy na Muslim.
Ibn Umm Maktuum alikuwa kipofu na haadhini mpaka aambiwe kuwa kumepambazuka. Kwa hivyo inapendeza kuchelewesha daku.
´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
´Abdur-Razzaaq ´Afiyfiy
´Abdullaah bin Ghudayyaan
´Abdullaah bin Qu´uud
[1] 02:187
- Mhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Lajnah ad-Daaimah (10/334) nr. (5611)
- Imechapishwa: 24/04/2022
Swali: Kulikuwa na kitambo gani kati ya daku na swalah ya Fajr?
Jibu: Wakati wa daku unatanda mpaka kuingia kwa alfajiri. Amesema (Ta´ala):
وَكُلُوا وَاشْرَبُوا حَتَّىٰ يَتَبَيَّنَ لَكُمُ الْخَيْطُ الْأَبْيَضُ مِنَ الْخَيْطِ الْأَسْوَدِ مِنَ الْفَجْرِ
“Kuleni na kunyweni mpaka ubainike kwenu uzi mweupe wa alfajiri kutokana na uzi mweusi.”[1]
Vilevile Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Bilaal anaadhini usiku. Hivyo kuleni na kunyweni mpaka aadhini Ibn Umm Maktuum.”
Ameipokea al-Bukhaariy na Muslim.
Ibn Umm Maktuum alikuwa kipofu na haadhini mpaka aambiwe kuwa kumepambazuka. Kwa hivyo inapendeza kuchelewesha daku.
´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
´Abdur-Razzaaq ´Afiyfiy
´Abdullaah bin Ghudayyaan
´Abdullaah bin Qu´uud
[1] 02:187
Mhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Lajnah ad-Daaimah (10/334) nr. (5611)
Imechapishwa: 24/04/2022
https://firqatunnajia.com/kula-mpaka-kuingie-alfajiri-ya-kweli/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)