Swali: Je, inafaa kufunga pasi na kula daku?
Jibu: Kilichosuniwa kwa mfungaji ni yeye kula daku kabla ya kupambazuka alfajiri. Kufanya hivo kunampa nguvu juu ya kufunga. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amehimiza jambo hilo na akabainisha kuwa daku ina baraka. Lakini mtu akifunga bila kula daku swawm yake ni sahihi.
´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
´Abdur-Razzaaq ´Afiyfiy
´Abdullaah bin al-Ghudayyaan
- Mhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Lajnah ad-Daaimah (09/26) nr. (14093)
- Imechapishwa: 24/04/2022
Swali: Je, inafaa kufunga pasi na kula daku?
Jibu: Kilichosuniwa kwa mfungaji ni yeye kula daku kabla ya kupambazuka alfajiri. Kufanya hivo kunampa nguvu juu ya kufunga. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amehimiza jambo hilo na akabainisha kuwa daku ina baraka. Lakini mtu akifunga bila kula daku swawm yake ni sahihi.
´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
´Abdur-Razzaaq ´Afiyfiy
´Abdullaah bin al-Ghudayyaan
Mhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Lajnah ad-Daaimah (09/26) nr. (14093)
Imechapishwa: 24/04/2022
https://firqatunnajia.com/kufunga-pasina-daku-ii/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)