Swali: Kipindi cha mwisho magonjwa ya akili na wanasaikolojia wamezidi kuwa wengi. Ni jambo linalotambulika kuwa masomo yao hayatokani na Qur-aan na Sunnah. Je, inafaa kwa muislamu anayemtegemea Allaah akawaendea wanasaikolojia hawa kwa ajili ya kujitibisha?
Jibu: Ndio. Jitibisheni na wala msijitibishe kwa kitu cha haramu. Allaah hakuteremsha ugonjwa wowote isipokuwa ameuteremshia dawa. Kujitibitisha hakupingani na kumtegemea Allaah. Hii ni sababu peke yake. Hakupingani na utegemezi wa Allaah. Fanya sababu na umtegemee Allaah. Kusanya kati ya viwili hivyo.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/eg–14041434.mp3
- Imechapishwa: 27/03/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)