Kukariri Istikhaarah kwa ajili ya jambo moja

Swali: Ni ipi hukumu ya kukariri swalah ya Istikhaarah kwa ajili ya jambo hilohilo?

Jibu: Hapana vibaya. Ukiomba na bado hujabainikiwa basi inafaa ukaswali na ukaomba du´aa mara ya pili mpaka ubainikiwe. Kariri Istikhaarah.

  • Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/eg–14041434.mp3
  • Imechapishwa: 27/03/2023