Swali: Je, swalah ya ´iyd inakidhiwa kwa mkusanyiko au mmojammoja?
Jibu: Hapana neno akiilipa pamoja na watu wa nyumbani kwake. Hivo ndivo alivokuwa akifanya Anas. Ni sawa pia akiikidhi peke yake. Jambo ni lenye wasaa – Allaah akitaka.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23494/هل-تقضى-صلاة-العيد-جماعة-ام-فرادى
- Imechapishwa: 29/01/2024
Swali: Je, swalah ya ´iyd inakidhiwa kwa mkusanyiko au mmojammoja?
Jibu: Hapana neno akiilipa pamoja na watu wa nyumbani kwake. Hivo ndivo alivokuwa akifanya Anas. Ni sawa pia akiikidhi peke yake. Jambo ni lenye wasaa – Allaah akitaka.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23494/هل-تقضى-صلاة-العيد-جماعة-ام-فرادى
Imechapishwa: 29/01/2024
https://firqatunnajia.com/aikidhi-na-familia-yake-au-peke-yake-2/