Swali 65: Ni misafara ipi ya kijeshi ilifanyika mwaka wa 10?
Jibu: Khaalid bin al-Waliyd alitumwa katika msafara wa kijeshi kwenda Najraan. Mwanzoni mwa mwezi wa Dhul-Qa’dah akaja na kabila zima wakiwa waislamu.
Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) akamtuma ´Aliy kwenda Yemen kabla ya hijjah ya kuaga. Baadaye akarudi na vile vichinjwa vya Hadiy.
Mtume (Swalla Allaahu ‘alayhi wa sallam) akamtuma Abu Muusa al-Ash´ariy na Mu´aadh bin Jabal kwenda Yemen kuwa wakala nchini humo. Akawaamrisha wafanye wepesi na wasitie uzito, waeneza bishara njema na wasikimbize, washirikiane na wasigawanyike.
Hijjah ya kuaga ilifanyika katika mwaka huu. Hapo zikawa zimekamilika nguzo za Uislamu.
- Mhusika: ´Allaamah Haafidhw bin Ahmad al-Hakamiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Amaaliy fiys-Siyrah an-Nabawiyyah, uk. 131
- Imechapishwa: 01/11/2023
Swali 65: Ni misafara ipi ya kijeshi ilifanyika mwaka wa 10?
Jibu: Khaalid bin al-Waliyd alitumwa katika msafara wa kijeshi kwenda Najraan. Mwanzoni mwa mwezi wa Dhul-Qa’dah akaja na kabila zima wakiwa waislamu.
Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) akamtuma ´Aliy kwenda Yemen kabla ya hijjah ya kuaga. Baadaye akarudi na vile vichinjwa vya Hadiy.
Mtume (Swalla Allaahu ‘alayhi wa sallam) akamtuma Abu Muusa al-Ash´ariy na Mu´aadh bin Jabal kwenda Yemen kuwa wakala nchini humo. Akawaamrisha wafanye wepesi na wasitie uzito, waeneza bishara njema na wasikimbize, washirikiane na wasigawanyike.
Hijjah ya kuaga ilifanyika katika mwaka huu. Hapo zikawa zimekamilika nguzo za Uislamu.
Mhusika: ´Allaamah Haafidhw bin Ahmad al-Hakamiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Amaaliy fiys-Siyrah an-Nabawiyyah, uk. 131
Imechapishwa: 01/11/2023
https://firqatunnajia.com/65-ni-misafara-ipi-ya-kijeshi-ilifanyika-mwaka-wa-10/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)