Abu Ja´far at-Twahaawiy (Rahimahu Allaah) amesema:
43 – Madai yote ya unabii baada yake ni upotofu na kuchupa mipaka.
MAELEZO
Haya yameshatangulia kubainishwa. Madai yote ya unabii baada yake (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) ni ukafiri na batili. Hatokuja Nabii mwingine baada ya Mtume wetu Muhammad (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Hata ´Iysaa (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) wakati ataposhuka katika zama za mwisho hatokuja akiwa kama Nabii au Mtume au kuja na Shari´ah mpya. Hakika si venginevyo atakuja akiwa kama mwenye kuifanya upya dini ya Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam), mwenye kumfuata na atahukumu kwa Shari´ah ya Uislamu.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: at-Ta´liyqaat al-Mukhtaswarah ´alaal-´Aqiydah at-Twahaawiyyah, uk. 64
- Imechapishwa: 09/12/2022
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)