Swali 35: Je, kumepokelewa kuhusu kubadilisha maeneo ya kuswalia Sunnah baada ya swalah yanayofahamisha juu ya kupendeza kwake?
Jibu: Hakukupokelewa Hadiyth Swahiyh kutokana na ninavojua. Lakini Ibn ´Umar na wengi katika Salaf walikuwa wakifanya hivo. Wigo wa jambo hilo ni mpana. Kumepokelewa juu yake Hadiyth dhaifu kwa Abu Daawuud (Rahimahu Allaah). Inaweza kutiliwa nguvu na kitendo cha Ibn ´Umar (Radhiya Allaahu ´anhumaa) na wale Salaf waliofanya hivo.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Muhimmah, uk. 38-39
- Imechapishwa: 24/08/2022
Swali 35: Je, kumepokelewa kuhusu kubadilisha maeneo ya kuswalia Sunnah baada ya swalah yanayofahamisha juu ya kupendeza kwake?
Jibu: Hakukupokelewa Hadiyth Swahiyh kutokana na ninavojua. Lakini Ibn ´Umar na wengi katika Salaf walikuwa wakifanya hivo. Wigo wa jambo hilo ni mpana. Kumepokelewa juu yake Hadiyth dhaifu kwa Abu Daawuud (Rahimahu Allaah). Inaweza kutiliwa nguvu na kitendo cha Ibn ´Umar (Radhiya Allaahu ´anhumaa) na wale Salaf waliofanya hivo.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Muhimmah, uk. 38-39
Imechapishwa: 24/08/2022
https://firqatunnajia.com/35-kubadilisha-maeneo-ya-faradhi-wakati-wa-kuswali-sunnah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)