Swali 272: Ni ipi hukumu ya wanawake kuyatembelea makaburi?
Jibu: Ni haramu na dhambi kubwa wanawake kuyatembelea makaburi. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amewalaani wanawake wenye kuyatembelea makaburi. Lakini mwanamke akipita kando na makaburi pasi na kukusudia matembezi, basi hapana neno kusimama na akawaombea du´aa wale wafu. Hivo ndivo inavyoashiria Hadiyth[1] ya ´Aaishah katika “as-Swahiyh” ya Muslim.
[1] Muslim (974).
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (17/313)
- Imechapishwa: 29/05/2022
Swali 272: Ni ipi hukumu ya wanawake kuyatembelea makaburi?
Jibu: Ni haramu na dhambi kubwa wanawake kuyatembelea makaburi. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amewalaani wanawake wenye kuyatembelea makaburi. Lakini mwanamke akipita kando na makaburi pasi na kukusudia matembezi, basi hapana neno kusimama na akawaombea du´aa wale wafu. Hivo ndivo inavyoashiria Hadiyth[1] ya ´Aaishah katika “as-Swahiyh” ya Muslim.
[1] Muslim (974).
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (17/313)
Imechapishwa: 29/05/2022
https://firqatunnajia.com/272-ni-ipi-hukumu-ya-wanawake-kuyatembelea-makaburi/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)