1 – Ni lazima maiti kumzika ndani ya kaburi ili kumlinda kutokamana na wanyama wakali. Maiti anatakiwa kuelekezwa Qiblah. Kila ambavo kaburi litakuwa na kina ndio bora zaidi.
2 – Bora kaburi liwe na mwanandani. Mwanandani atachimbwa upande wa Qiblah na humo ndipo atawekwa maiti.
3 – Inafaa kuchimba mwanandani katikati ya kaburi[1] haja ikipelekea kufanya hivo.
4 – Maiti atalazwa ubavuni mwake wa kulia hali ya kuelekezwa Qiblah.
5 – Matofali ya block na matofali ya udongo yanatakiwa kumtenganisha na kaburi ili udongo usimdondokee maiti.
6 – Mwishowe kaburi litafukiwa tena. Haitakiwi kunyanyuliwa, lisitiwe chokaa wala kitu kingine.
7 – Haijuzu kuzika katika nyakati tatu:
1 – Jua likichomoza mpaka lipande kiasi cha takriban robo saa.
2 – Kipindi ambapo jua limepinduka mpaka liache kilele chake. Bi maana tariban dakika saba baada yake.
3 – Kukibaki takriban robo saa kabla ya jua kuzama mpaka lizame.
Imeandikwa na Muhammad bin Swaalih al-´Uthaymiyn
1402-02-02
Himdi zote ni stahiki ya Allaah, Mola wa walimwengu.
[1] Tazama https://firqatunnajia.com/95-aina-mbili-za-mianandani-ambazo-zote-zinafaa/#_ftn2
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (17/475-476)
- Imechapishwa: 28/05/2022
1 – Ni lazima maiti kumzika ndani ya kaburi ili kumlinda kutokamana na wanyama wakali. Maiti anatakiwa kuelekezwa Qiblah. Kila ambavo kaburi litakuwa na kina ndio bora zaidi.
2 – Bora kaburi liwe na mwanandani. Mwanandani atachimbwa upande wa Qiblah na humo ndipo atawekwa maiti.
3 – Inafaa kuchimba mwanandani katikati ya kaburi[1] haja ikipelekea kufanya hivo.
4 – Maiti atalazwa ubavuni mwake wa kulia hali ya kuelekezwa Qiblah.
5 – Matofali ya block na matofali ya udongo yanatakiwa kumtenganisha na kaburi ili udongo usimdondokee maiti.
6 – Mwishowe kaburi litafukiwa tena. Haitakiwi kunyanyuliwa, lisitiwe chokaa wala kitu kingine.
7 – Haijuzu kuzika katika nyakati tatu:
1 – Jua likichomoza mpaka lipande kiasi cha takriban robo saa.
2 – Kipindi ambapo jua limepinduka mpaka liache kilele chake. Bi maana tariban dakika saba baada yake.
3 – Kukibaki takriban robo saa kabla ya jua kuzama mpaka lizame.
Imeandikwa na Muhammad bin Swaalih al-´Uthaymiyn
1402-02-02
Himdi zote ni stahiki ya Allaah, Mola wa walimwengu.
[1] Tazama https://firqatunnajia.com/95-aina-mbili-za-mianandani-ambazo-zote-zinafaa/#_ftn2
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (17/475-476)
Imechapishwa: 28/05/2022
https://firqatunnajia.com/mukhtaswari-kuhusu-mazishi/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)